ads 728x90 B

Mama alipompa mwanaye huduma ya faragha usiku mzima

http://previews.123rf.com/images/ekina/ekina1209/ekina120900162/15067866-Love-story-Running-along-the-river-splashing-Stock-Photo-love-couple-romantic.jpg


Mama Moses ni mwanamke wa kimjinimjini, alianza kuwajua wanaume mapema sana. Akiwa na umri wa miaka 16, alipewa ujauzito na jamaa aliyekuwa kondakta wa daladala kwa wakati huo. Hakuwa na jinsi alijifungua mtoto wa kiume, akamwita Moses.
Kwa sasa Mama Moses ana umri wa miaka 44, Moses ana miaka 28. Mtu na mwanaye wanaishi kama wazungu. Maisha yao si haba, kwani miaka 19 iliyopita, Mama Moses alimliza mzungu mmoja kiasi kikubwa cha fedha, baada ya hapo akawekeza kwenye biashara mbalimbali, ikiwemo maduka Kariakoo na akawa anafuata mizigo China.
Moses ni mtoto wa pekee, kwa hiyo maisha yake yakawa kutumbua fedha za mama yake. Alizitumia kuendesha magari makali akiwa na umri mdogo kabisa. Alihakikisha anatoa ule mkong’oto wa baba na mama kwa warembo tofautitofauti, ikiwemo wanafunzi.
Hakuishia hapo, Moses alibeba mpaka mizigo inayomzidi kimo. Alitoka kimapenzi na wanawake wenye umri kumzidi hata mama yake. “Ninapopata jimama la ukweli, lililonizidi umri nainjoi sana. Hawa watoto nimewazoea, hawanipi stimu kabisa,” Moses aliwahi kumwambia rafiki yake Slay.
Kwa upande mwingine, Mama Moses tangu afikishe umri wa miaka 40, hakutaka kabisa kushiriki mapenzi na wanaume wenye umri mkubwa zaidi yake. “Zamani nilikuwa natembea na mibaba ili nipate fedha, sasa hivi hela ninayo, nataka vijana tu wanipe raha,” hiyo ni kauli ya Mama Moses, akimwambia shosti wake Monica.
“Hivi wewe Moses huwezi kuangalia warembo wa saizi yako? Tabia gani ya kutembea na mimama mikubwa, tena mingine inaweza hata kunizaa,” Mama Moses aliwahi kumwonya mwanaye.
“Mama wewe ndiye unanikata stimu, unatoka na vijana wadogo saizi yangu, wengine hata mimi nawazidi umri,” Moses alimjibu mama yake. Pamoja na hivyo, hakuna kati yao aliyekoma.
Kuna siku moto uliwaka nyumbani kwao. Mama mtu alianza kumtuhumu mwanaye kuwa ametembea na rafiki yake Monica. “Wewe Monica si ni mama yako kabisa? yule ni rafiki yangu wa siku nyingi, wewe unajua lakini umetembea naye bila woga,” Mama Moses alimuwakia Moses ambaye naye alijibu: “Kweli mama mkuki kwa nguruwe, wewe ulifurahi sana ulipotoka na mshakaji wangu Aslay.”
Maisha yalizidi kwenda kasi, siku moja Moses akiwa klabu na marafiki zake, mara Jaca ambaye ni mshakaji wake mwingine aliingia. Walipiga stori mbalimbali lakini katikati ya mazungumzo, mmoja wa marafiki wa Moses alimuuliza Jaca ni kwa nini alichelewa klabu?
Jaca akajibu: “Leo jionijioni nilikutana na bonge la jimama, likanizimia halafu lina mawe kinoma, nikaona siyo vibaya ngoja nijiweke. Tulikula bata, tukaziua bia kama tumerogwa vile, baada ya hapo tukazama zetu chumbani kwenye hoteli moja hapo kati.
“Kabla ya kuanza mambo, machale yakanicheza. Ikabidi nimsimamie yule jimama aendelee kunywa, alewe ili nimtoroke. Alipolewa nikamkimbia zangu ndiyo maana mnaona nimechelewa. Maradhi mengi jamani, ukimwi upo.”
“Acha uzembe wewe, kwani hakuna kondomu?” Moses alimjibu Jaca. Papo hapo akaomba aelekezwe hoteli na chumba ambacho amemwacha huyo bi. mkubwa. Maelekezo yalifanyika, Moses ikabidi ajipe stimu kwa kupiga pombe za kutosha ndiyo amvae jimama aliyeogopwa na Jaca.
Baada ya kujitwika pombe za kutosha, Moses aliongozana na Jaca mpaka hotelini, wakapanda ghorofani mpaka kwenye chumba husika. Jaca aliingia kwanza kuhakikisha mazingira yapo salama, alipojiridhisha, alizima taa, halafu akatoka nje.
“Sasa wewe ukiingia ndani, anza kazi. Mama yupo hoi, usiwashe taa atakushtukia mapema,” Jaca alimpa maelezo Moses ambaye aliyapokea kisha akaingia ndani. Alipofika tu, alisoma gizani na kujua mahali kitanda kilipo na bi. mkubwa akiwa amejaa tele.
Akavua nguo harakaharaka, kisha akahamia kwa yule bi. mkubwa, akamchojoa kiwalo kimoja baada ya kingine. Alipofikia usawa wa kufuli, jimama lilijigeuza kama mzigo kisha akazungumza kwa sauti ya pombe: “Safi baby, unataka kunipa raha.”
Moses wala hakujibu, alichokifanya kwa wakati huo ni kumwandaa bi. mkubwa, tayari kwa shughuli inayofaa eneo walilopo. Jimama akawa anahangaika huku na huko, pombe zikawa zinamezwa na ule mchezo aliokuwa anafanyiwa. Mwisho mechi ikaanza.
Ilikuwa mechi yenye kila aina ya kashkashi za utamu kwa pande zote mbili. Moses alijitahidi kucheza salama, kila baada ya mchakamchaka mfupi, alichomoa daruga kuhakikisha kama kiatu kipo, kimevuka au kimepasuka. Aliporidhika kipo aliendelea kwa ari, nguvu na kasi zaidi.
Baada ya mchuano, wote walipitiwa na usingizi. Palipokucha, mwanga ukiwa umeshaingia chumbani, yaani siyo giza tena, Moses ndiye alikuwa wa kwanza kuamka. Akakumbuka matukio ya usiku uliopita, pombe zilishamwisha, akamwangalia jimama aliyepata naye raha usiku mzima.
“My God,” Moses alijikuta akitamka maneno hayo kwa mshangao. Ni maneno hayohayo ndiyo yaliyomwamsha yule bi. mkubwa ambaye mpaka wakati huo, alikuwa hana nguo hata moja.
Macho yakawatoka wote wawili, hakuna aliyethubutu kufungua kinywa kuzungumza chochote, kwani yule bi. mkubwa hakuwa mwingine, bali ni Mama Moses, kwa hiyo mama na mwana walipeana huduma ya faragha usiku mzima bila kujuana.
SHIKA HII
Ni vizuri kujiheshimu. Umakini unahitajika kila wakati.




Share on Google Plus

About LUQMAN MALOTO

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment